Yakobo Mkubwa
From Wikipedia, the free encyclopedia
Yakobo, mwana wa Zebedayo na Salome, na kaka wa Mtume Yohane, alikuwa Myahudi wa karne ya 1 aliyepata kuwa mmoja kati ya Mitume wa Yesu walio muhimu zaidi[1].
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/a/a6/Carlo_Crivelli_064.jpg/640px-Carlo_Crivelli_064.jpg)
Maelezo zaidi Mitume wa Yesu ...
Mitume wa Yesu |
---|
|
Funga
Maelezo zaidi Mfululizo wa kurasa juu ya Yesu, Mazingira ya Yesu ...
Funga
Anaitwa "Mkubwa" ili kumtofautisha na Mtume mwingine mwenye jina hilohilo, Yakobo Mdogo mwana wa Alfayo.