Utoto wa Yesu
From Wikipedia, the free encyclopedia
Utoto wa Yesu unamaanisha maisha ya Yesu tangu azaliwe hadi alipokuwa na umri wa miaka 12, kwa sababu Wayahudi walihesabu miaka 13 kuwa mwanzo wa wajibu wa kushika Torati yote.
Maelezo zaidi Mfululizo wa kurasa juu ya Yesu, Mazingira ya Yesu ...
Funga