![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/4/47/Iconnativity.jpg/640px-Iconnativity.jpg&w=640&q=50)
Krismasi
Sikukuu ya Wakristo ya kusheherekea kuzaliwa kwa Yesu Kristo / From Wikipedia, the free encyclopedia
Krismasi (pia Noeli) ni sikukuu ambayo Wakristo wengi husheherekea kuzaliwa kwake Yesu Kristo zaidi ya miaka 2000 iliyopita.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/4/47/Iconnativity.jpg/640px-Iconnativity.jpg)
Kwa kawaida husheherekewa tarehe 25 Desemba katika Ukristo wa magharibi[1] na tarehe 6 Januari katika ule wa mashariki.