![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/b/ba/The_Evangelist_Matthew_Inspired_by_an_Angel.jpg/640px-The_Evangelist_Matthew_Inspired_by_an_Angel.jpg&w=640&q=50)
Mtume Mathayo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mathayo (kwa Kiebrania מַתִּתְיָהוּ, Mattityahu au מתי, Mattay, Zawadi ya Mungu; kwa Kigiriki Ματθαῖος, Matthaios. Labda aliitwa pia Lawi) alikuwa Myahudi wa karne ya 1, mmojawapo kati ya Mitume wa Yesu anayeheshimiwa hasa kutokana na Injili yenye jina lake ambayo inataka kuthibitisha kwamba Yesu Kristo, mwana wa Daudi, mwana wa Abrahamu, ametimiza ahadi za Agano la Kale [1].
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/b/ba/The_Evangelist_Matthew_Inspired_by_an_Angel.jpg/640px-The_Evangelist_Matthew_Inspired_by_an_Angel.jpg)
Maelezo zaidi Mitume wa Yesu ...
Mitume wa Yesu |
---|
|
Funga
Maelezo zaidi Mfululizo wa kurasa juu ya Yesu, Mazingira ya Yesu ...
Funga