Namibia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Namibia ni nchi ya Afrika ya Kusini kwenye pwani ya Atlantiki.
Ukweli wa haraka
| |||||
Kaulimbiu ya taifa: Unity, Liberty, Justice | |||||
Wimbo wa taifa: Namibia, Land of the Brave (Namibia, nchi ya mashujaa) | |||||
Mji mkuu | Windhoek 22°33′ S 17°15′ E | ||||
Mji mkubwa nchini | Windhoek | ||||
Lugha rasmi | Kiingereza1 | ||||
Serikali | Jamhuri Nangolo Mbumba Saara Kuugongelwa | ||||
Uhuru Kutoka Afrika Kusini |
21 Machi 1991 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
825,615 km² (ya 34) kidogo sana | ||||
Idadi ya watu - Julai 2023 kadirio - 2011 sensa - Msongamano wa watu |
2,777,2322 (ya 141) 2,113,077 3.2/km² (ya 235) | ||||
Fedha | Namibia dollar (NAD ) | ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
(UTC+1) (UTC) | ||||
Intaneti TLD | .na | ||||
Kodi ya simu | +264
- |
Funga
Imepakana na Angola, Zambia, Zimbabwe Botswana na Afrika Kusini.
Imepata uhuru wake kutoka Afrika Kusini mwaka 1990 baada ya vita vya ukombozi.