Mikoa ya Jamhuri ya Kongo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mikoa ya Jamhuri ya Kongo ni ngazi ya kwanza ya ugatuzi wa utawala katika Jamhuri ya Kongo. Nchi imegawanywa katika mikoa kumi na mbili zinazoitwa kwa Kifaransa départements tangu mwaka 2002. [1]
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/0/0c/Congo_regions_named.png)
Mikoa hiyo imegawanywa katika wilaya 86 na halmashauri 7. Hizo zimegawanywa zaidi katika jumuiya za mjini (communautés urbaines) na jumuiya za vijijini (communautés rurales); ambazo zimegawanywa zaidi katika mitaa (quartiers) na vijiji.
Maelezo zaidi Mkoa, Makao makuu ...
Mkoa | Makao makuu | Idadi ya watu (sensa ya 2007) |
Eneo (km2) |
Kanda |
---|---|---|---|---|
Kouilou | Hinda | 91,955 | 13,650 | Kusini |
Niari | Dolisie | 231,271 | 25,942 | Kusini |
Lekoumou | Sibiti | 96,393 | 20,950 | Kusini |
Bouenza | Madingou | 309,063 | 12,265 | Kusini |
Pool | Kinkala | 236,595 | 33,955 | Kusini |
Plateaux | Djambala | 174,591 | 38,400 | Kaskazini |
Cuvette | Owando | 156,044 | 48,250 | Kaskazini |
Cuvette-Ouest | Ewo | 72,999 | 26,600 | Kaskazini |
Sangha | Ouesso | 85,738 | 55,800 | Kaskazini |
Likouala | Impfondo | 154,155 | 66,044 | Kaskazini |
Brazzaville | 1,373,382 | 100 | Kusini | |
Pointe-Noire | 715,335 | 44 | Kusini | |
Funga