From Wikipedia, the free encyclopedia
Ugatuzi (kwa Kiingereza: devolution) ni mfumo wa utawala unaogawa madaraka ya uamuzi kutoka katika ngazi ya juu ya serikali na kuyapeleka katika ngazi ya chini (serikali za mitaa)[1][2].
Namna ugatuzi unavyofanyika inategemea sheria za nchi husika.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.