Eswatini
From Wikipedia, the free encyclopedia
Eswatini (jina rasmi tangu mwaka 2018 ni Umbuso weSwatini; kifupi cha Kiswati: eSwatini[1]; kwa Kiswahili pia: Uswazi) ni nchi ndogo ya Kusini mwa Afrika isiyo na pwani katika bahari yoyote.
Ukweli wa haraka Ufalme wa Eswatini, Miji mikuu ...
Ufalme wa Eswatini | |
---|---|
Umbuso weSwatini (Kiswazi) Kingdom of Swaziland (Kiingereza) | |
Kaulimbiu ya taifa: Siyinqaba (Kiswazi) "Sisi ni ngome" | |
Wimbo wa taifa: Nkulunkulu Mnikati wetibusiso temaSwati "Mungu, Mpaji wa Baraka kwa Waswati" | |
Mahali pa Eswatini | |
Ramani ya Eswatini | |
Miji mikuu | Mbabane (serikali) Lobamba (bunge) |
Mji mkubwa nchini | Mbabane 26°19′ S 31°08′ E |
Lugha rasmi | Kiswati Kiingereza |
Makabila (asilimia) | 84 Waswati 10 Wazulu 6 wengine |
Funga
Imepakana na Afrika Kusini na Msumbiji.
Miji mikuu ni Mbabane na Lobamba.