Baraza la Mawaziri la Tanzania ni ngazi ya juu ya serikali au mkono wa utendaji wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika mfumo wa mgawanyo wa madaraka.
Baraza hili linaundwa na rais, makamu wa rais, rais wa Zanzibar, waziri mkuu na mawaziri wote wanaoongoza moja ya wizara za serikali . [1] Manaibu mawaziri si sehemu ya baraza. Mwanasheria Mkuu anashiriki katika mikutano ya baraza lakini hana haki ya kupiga kura katika mikutano hiyo.
Mikutano ya baraza huongozwa na Rais kama mwenyekiti, kama Rais hayupo basi mikutano hiyo huongozwa na Makamu wa Rais, na kama wote wawili hawapo mikutano hiyo huongozwa na Waziri Mkuu.[2]
Serikali iliyopo ilitangazwa na John Pombe Magufuli, rais wa sita wa Tanzania baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020 mnamo tarehe 6 Desemba 2020.
Maelezo zaidi Chama anachotoka ...
Funga
Maelezo zaidi Picha, Majukumu ...
Baraza la mawaziri la Tanzania: tangu Desemba 2020[3]
Picha |
Majukumu |
Jina |
![](//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/c/c0/John_Magufuli_2015.png/75px-John_Magufuli_2015.png) |
Raisi
|
|
Dr. John Magufuli |
![](//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/6/60/Samia_Suluhu_Hassan.jpg/75px-Samia_Suluhu_Hassan.jpg) |
Makamu wa Rais |
|
Samia Suluhu |
[[File:|75px]] |
Rais wa Zanzibar |
|
Hussein Ali Mwinyi |
![](//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/4/4f/Kassim_Majaliwa.jpg/75px-Kassim_Majaliwa.jpg) |
Waziri Mkuu |
|
Kassim Majaliwa |
Faili:Abdallah Ulega.jpg |
Kilimo |
|
Adolf Mkenda |
![](//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/1/1d/No_image.svg/75px-No_image.svg.png) |
Waziri wa Nchi Ofisi ya Raisi TAMISEMI, Utumishi na Utawala Bora |
|
Selemani Said Jafo |
![](//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/7/76/Angellah_Kairuki.jpg/75px-Angellah_Kairuki.jpg) |
Madini |
|
Doto Biteko |
![](//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/d/d8/January_Makamba_2012.jpg/75px-January_Makamba_2012.jpg) |
Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais Masuala ya Muungano, Mazingira |
|
Ummy Ally Mwalimu |
![](//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/1/1d/No_image.svg/75px-No_image.svg.png) |
Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu |
|
Jenista Mhagama |
![](//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/1/1d/No_image.svg/75px-No_image.svg.png) |
Mifugo na Uvuvi |
|
Mashimba Ndaki |
![](//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/1/1d/No_image.svg/75px-No_image.svg.png) |
Sheria na Katiba |
|
Mwigulu Nchemba |
![](//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/3/3a/Hussein_Mwinyi.jpg/75px-Hussein_Mwinyi.jpg) |
Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa |
|
Elias Kwandikwa |
![](//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/1/1d/No_image.svg/75px-No_image.svg.png) |
Elimu |
|
Joyce Lazaro Ndalichako |
|
Teknolojia ya Habari na Mawisiliano |
|
Faustine Ndugulile |
Faili:Medard Kalemani.jpg |
Nishati |
|
Medard Matogolo Kalemani |
![](//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/1/1d/No_image.svg/75px-No_image.svg.png) |
Wizara ya Fedha na Mipango |
|
Dr. Philip Mpango |
![](//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/2/2b/Augustine_Mahiga_%28cropped%29.jpg/75px-Augustine_Mahiga_%28cropped%29.jpg) |
Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa |
|
Palamagamba Kabudi |
![](//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/1/1d/No_image.svg/75px-No_image.svg.png) |
Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto |
|
Dorothy Gwajima |
![](//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/1/1d/No_image.svg/75px-No_image.svg.png) |
Mambo ya Ndani |
|
George Simbachawene |
![](//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/2/23/Charles_Mwijage.jpg/75px-Charles_Mwijage.jpg) |
Viwanda, Biashara na Uwekezaji |
|
Godfrey Mwambe |
![](//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/1/1d/No_image.svg/75px-No_image.svg.png) |
Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo |
|
Innocent Bashungwa |
![](//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/c/c2/William_Lukuvi_cropped.png/75px-William_Lukuvi_cropped.png) |
Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi |
|
William Lukuvi |
![](//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/1/1d/No_image.svg/75px-No_image.svg.png) |
Maliasili na Utalii |
|
Damas Ndumbaro |
![](//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/9/90/Makame_Mbarawa_IAEA.png/75px-Makame_Mbarawa_IAEA.png) |
Maji na Umwagiliaji |
|
Juma Aweso |
![](//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/1/1d/No_image.svg/75px-No_image.svg.png) |
Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano |
|
Leonard Chamuriho |
(anahudhuria mikutano ya baraza la mawaziri bila kupiga kura |
![](//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/1/1d/No_image.svg/75px-No_image.svg.png) |
Mwanasheria Mkuu wa Tanzania |
|
Dr. Adelardus Kilangi |
Funga