Afrika Kusini
nchi Kusini mwa Afrika / From Wikipedia, the free encyclopedia
Afrika Kusini ni nchi kubwa ya Afrika ya Kusini yenye wakazi takriban milioni 54.
Ukweli wa haraka Kizulu:, Kixhosa: ...
Kizulu: | iRiphabhuliki yaseNingizimu Afrika |
---|---|
Kixhosa: | iRiphabliki yomZantsi Afrika |
Kiafrikaans: | Republiek van Suid-Afrika |
Kisotho-Kaskazini: | Repabliki ya Afrika-Borwa |
Kitswana: | Rephaboliki ya Aforika Borwa |
Kisotho-Kusini: | Rephaboliki ya Afrika Borwa |
Kitsonga: | Riphabliki ya Afrika Dzonga |
Kiswazi: | iRiphabhulikhi yeNingizimu Afrika |
Kivenda: | Riphabuḽiki ya Afurika Tshipembe |
Kindebele: | iRiphabliki yeSewula Afrika |
Bendera | Nembo |
(Kiswahili: "Umoja katika utofauti" au kifasihi, "Umoja wa watu tofauti")
Pretoria (Serikali)
Bloemfontein (Mahakama Kuu)
33°55′ S 18°25′ E
Cyril Ramaphosa
Muungano wa Afrika Kusini
- Jumla
- Maji (%)
1,221,037 km² (ya 25)
kidogo sana
- Julai 2005 kadirio
- 2014 sensa
- Msongamano wa watu
47,432,000 [1] (ya 25)
54,002,000
42.4/km² (ya 169)
ZAR
)- Kiangazi (DST)
not observed (UTC+2)
+27
-
Funga
Imepakana na Namibia, Botswana, Zimbabwe, Msumbiji na Uswazi. Nchi nzima ya Lesotho iko ndani ya eneo la Afrika Kusini.
Mji mkubwa ni Johannesburg. Majukumu ya mji mkuu yamegawiwa kati ya miji mitatu: Cape Town ni makao ya Bunge, Pretoria ni makao ya Serikali na Bloemfontein ni makao ya Mahakama Kuu.