Lugha ya Nguni ya kusini mwa Afrika Kusini From Wikipedia, the free encyclopedia
Kixhosa ni lugha ya Kibantu hasa nchini Afrika Kusini inayozungumzwa na Waxhosa. Mwaka wa 2006 idadi ya wasemaji wa Kixhosa nchini Afrika Kusini imehesabiwa kuwa watu 7,790,000. Pia kuna wasemaji nchini Botswana na Lesotho. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kixhosa iko katika kundi la S40.
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kixhosa kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.