From Wikipedia, the free encyclopedia
Malcolm Guthrie (10 Februari 1903 - 22 Novemba 1972) alikuwa profesa wa Lugha za Bantu.
Anajulikana kwa uchambuzi wa Lugha za Kibantu katika makala ya Guthirie 1971, ambayo yamebaki makala muhimu hadi leo ingawa yamezeeka.
Malcolm alizaliwa Hove, Sussex, Uingereza.
Makala[1] yake ni Comparative Bantu[2] ambayo yalichapishwa katika matoleo manne:
Matoleo haya yanatoa ainisho la jumla la Lugha za Bantu na pia kuyapa muundo mpya makala ya Proto Bantu kama Lugha itarajiwayo ya familia ya Kibantu.
Katika muundo wake mpya wa makala hiyo, Guthrie alitoa data kutoka 'Lugha 28 za majaribio' ambazo zilichaguliwa bila mpangilio maalumu.
Malalamiko yametolewa, kwa mfano na Möhlig[3], kwamba jambo hili linafanya makala yake kuwa ya kutotegemewa, kwa vile lugha zilizoundwa upya, na hivyo ukoo unaweza kuwa tofauti kutoka iwapo mmoja atabadilisha chaguo la lugha.
Guthrie pia alichapisha kwa ukubwa kuhusu lugha nyingi za Kibantu, ikiwemo Lingala, Baemba, Mfinu na Lugha ya Teke.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.