Wyoming

From Wikipedia, the free encyclopedia

Wyoming ni jimbo la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Mji mkuu na mji mkubwa ni Cheyenne. Miji muhimu baada ya Cheyenne ni Casper, Laramie na Rock Springs. Imepakana na Montana, South Dakota (Dakota Kusini), Nebraska, Colorado, Utah na Idaho. Jimbo lina wakazi wapatao 532,668 (2008) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 253,348.

Ukweli wa haraka Nchi, Mji mkuu ...
Wyoming
Thumb
Bendera
Thumb
Nembo
Nchi  Marekani
Mji mkuu Cheyenne
Eneo
 - Jumla 253,336 km²
 - Kavu 251,489 km² 
 - Maji 1,847 km² 
Tovuti:  http://wyoming.gov/
Funga

Hifadhi la Taifa

Thumb
Ramani ya Wyoming
Thumb
Grand Teton National Park katika Wyoming

Viungo vya Nje

Ukweli wa haraka
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Funga


Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wyoming kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.