From Wikipedia, the free encyclopedia
Nevada ni jimbo la Marekani upande wa magharibi ya nchi. Mji mkuu ni Carson City na mji mkubwa ni Las Vegas. Imepakana na Oregon, Idaho, Utah, Arizona na California.
Nevada | |||
| |||
Nchi | Marekani | ||
---|---|---|---|
Mji mkuu | Carson City | ||
Eneo | |||
- Jumla | 286,351 km² | ||
- Kavu | 284,448 km² | ||
- Maji | 1,903 km² | ||
Tovuti: http://www.nv.gov/ |
Jimbo lina wakazi wapatao 2,600,167 (2008) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 286,367.
Majimbo ya Marekani |
---|
Alabama • Alaska • Arizona • Arkansas • California • Colorado • Connecticut • Delaware • Florida • Georgia • Hawaii • Idaho • Illinois • Indiana • Iowa • Kansas • Kentucky • Louisiana • Maine • Maryland • Massachusetts • Michigan • Minnesota • Mississippi • Missouri • Montana • Nebraska • Nevada • New Hampshire • New Jersey • New Mexico • New York • North Carolina • North Dakota • Ohio • Oklahoma • Oregon • Pennsylvania • Rhode Island • South Carolina • South Dakota • Tennessee • Texas • Utah • Vermont • Virginia • Washington • West Virginia • Wisconsin • Wyoming |
Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Nevada kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.