Ujerumani
From Wikipedia, the free encyclopedia
Ujerumani (pia: Udachi, kwa Kijerumani: Deutschland) ni nchi ya Ulaya ya Kati.
Ukweli wa haraka
| |||||
Kaulimbiu ya taifa: Einigkeit und Recht und Freiheit (Kijerumani: "Umoja na Haki na Uhuru”) | |||||
Wimbo wa taifa: Wimbo wa Wajerumani (beti ya tatu) Umoja na Haki na Uhuru | |||||
Mji mkuu | Berlin 52°31′ N 13°24′ E | ||||
Mji mkubwa nchini | Berlin | ||||
Lugha rasmi | Kijerumani 1 | ||||
Serikali | Shirikisho la Jamhuri Frank-Walter Steinmeier Olaf Scholz | ||||
Dola Takatifu la Kiroma Dola la Ujerumani Shirikisho la Jamhuri Maungano |
843 (Mkataba wa Verdun) 18 Januari 1871 23 Mei 1949 3 Oktoba 1990 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
357,050 km² (ya 63) 2.416 | ||||
Idadi ya watu - 2022 kadirio - 2011 sensa - Msongamano wa watu |
84,270,625 (ya 19) 80,219,695 232/km² (ya 58) | ||||
Fedha | Euro (€) 2 (EUR ) | ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
CET (UTC+1) CEST (UTC+2) | ||||
Intaneti TLD | .de | ||||
Kodi ya simu | +49 | ||||
1 Kideni, Kijerumani cha Kaskazini, Kisorbia, Kifrisia ni lugha rasmi katika mikoa kadhaa 2 hadi 1999: Mark (DM) |
Funga
Imepakana na Denmark, Poland, Ucheki, Austria, Uswisi, Ufaransa, Luxemburg, Ubelgiji na Uholanzi.
Ndiyo nchi yenye watu wengi zaidi katika Ulaya, isipokuwa Urusi.
Uchumi wa Ujerumani una uwezo mkubwa: ni nchi inayouza bidhaa nyingi nje kushinda mataifa yote duniani.
Muundo wake kiutawala ni shirikisho la jamhuri lenye majimbo 16 ndani yake na kila jimbo lina kiwango cha kujitawala.