Dola Takatifu la Kiroma
From Wikipedia, the free encyclopedia
Dola Takatifu la Kiroma (Kijerumani: Heiliges Römisches Reich, Kilatini: Sacrum Romanum Imperium) lilikuwa jina la Ujerumani kati ya takriban mwaka 1000 na 1806. Lakini dola hilo, licha ya Ujerumani, lilikuwa pia na maeneo makubwa, yakiwa ni pamoja na Austria, Italia ya Kaskazini, Ubelgiji, Uholanzi na Ucheki wa leo.
- Dola Takatifu la Kiroma si sawa na Dola la Roma la Kale.
Mipaka yake yalibadilika mara kadhaa katika karne nyingi za kuwako kwake.