Kideni ni moja kati ya lugha za Kijerumaniki, kinazungumzwa nchini Udeni, Visiwa vya Faroe, na sehemu kadhaa za Grinlandi na Ujerumani (Kusini mwa Schleswig). Idadi ya wasemaji wa lugha hii inakadiriwa kuwa ni milioni 5.5. Nchini Grinlandi na Kisiwani Faroe, lugha hii inatumika kama ya pili kitaifa. Kwa watu wa Udeni, au Wadeni, lugha hii inajulikana kama dansk.

Lahaja za Kideni

Hapa kuna mifano miwili ya Kideni:

Maelezo zaidi Kiswahili ...
KiswahiliKideni
SalamHej
KwaheriFarvel
AhsanteTak
Unatoka Wapi ?Hvor kommer du fra?
PamojaMed
MimiJeg
NdiyoJa
HapanaNej
am/are/isEr
KiingerezaEngelsk
KamaHvis
NinakupendaJeg elsker dig
ChumbaVærelse
CopenhagenKøbenhavn
AnkaraRegning
MsosiMad
SawaOkay
MwamvuliParaply
WapiHvor
NaniHvem
IpiHvilken/hvilket
BeiPrisen
Iko wapiHvor er
Uwa. NdegeLufthavn
BarabaraVej
JogooHane
Kuku JikeKylling
SamakiFisk
Asiyekula nyamaVegetar
FananishaSammenligne
TreniTog
Funga

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kideni kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.