Uwemba

From Wikipedia, the free encyclopedia

Uwemba ni kata ya Mji wa Njombe katika Mkoa wa Njombe, nchini Tanzania, yenye postikodi namba 59103.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi wa kata walihesabiwa kuwa 10,359 [1]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 8,900 [2] walioishi humo.

Uwemba iko monasteri ya shirika la wamonaki Wakatoliki Wabenedikto ambayo ni upriori mdogo chini ya abasia ya Peramiho.

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.