Uislamu nchini Sudan Kusini
From Wikipedia, the free encyclopedia
Uislamu ni dini ndogo mno nchini Sudan Kusini. Sehemu ya Waislamu walikaribishwa Sudan Kusini baada ya Kura ya maoni ya uhuru wa Sudan Kusini.[1] Sensa ya awali ilitaja kuwa dini ya wakusini katika miaka ya 1956 ambapo ilianishwa ya kwamba sehemu kubwa ya wakazi wa huko walikuwa wafuasi wa dini za jadi au Wakristo wakati asilimia 18 walikuwa Waislamu.[2]
- Muslim children in South Sudan
Uislamu kwa nchi ![]() |
Marejeo
Viungo vya Nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.