Uislamu nchini Madagascar

From Wikipedia, the free encyclopedia

Uislamu nchini Madagascar

Uislamu umeanzishwa vyema katika nchi ya leo ijulikanayo kama Madagaska. Kwa karne na karne na leo hadi leo hii Waislamu nchini humo wanawakilisha karibia asilimia 7 ya jumla ya wakazi wote wa nchini humo.[1]

Msikiti mkuu mjini Antananarivo.
Uislamu kwa nchi

Karibia Waislamu wote wa Madagascar wanafuata dhehebu la Sunni katika mafundisho ya [Imamu]] Shafi, huku kukiwa na idadi ndogo ya wafuasi wa Ahmadiyya ambao walianza kuingia kwenye miaka ya 1980.[2]

Marejeo

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.