From Wikipedia, the free encyclopedia
Siku ya kimataifa ya vijana (kwa Kiingereza: World Youth Day; kifupi: WYD) ni tukio linaloandaliwa na Kanisa Katoliki kwa ajili ya rika hilo. Kila mwaka siku ya vijana inaadhimishwa ama katika majimbo tu kwenye Jumapili ya matawi, ama kimataifa katika mji fulani.
Mpango huo ulianzishwa na Papa Yohane Paulo II mwaka 1985 kwa kufuata mang'amuzi yake nchini Polandi [1] ukaendelezwa na waandamizi wake, Papa Benedikto XVI [2] na Papa Fransisko.
Misa ya kumalizia adhimisho hilo mjini Manila, Ufilipino, mwaka 1995 ilihudhuriwa na watu milioni 5.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.