Mchana
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mchana ni kipindi chote cha siku ambapo nuru ya jua inaangaza sehemu fulani ya dunia.
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/f/f6/A_day_panorama_-_digital_art.jpg/640px-A_day_panorama_-_digital_art.jpg)
Kinyume chake ni usiku.
Kwa wakati mmoja, jua linaangaza karibu nusu ya dunia. Huko ni mchana, kumbe katika nusu ya pili ni usiku.
Kwa binadamu na wanyama wengi ndio wakati wa utendaji mwingi zaidi.
Maelezo zaidi Vipindi vya siku ...
Vipindi vya siku | ![]() | ||
---|---|---|---|
Usiku • Usiku kati • Usiku wa manane • Alfajiri • Pambazuko • Asubuhi • Adhuhuri • Mchana • Alasiri • Jioni • Machweo |
Funga
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |