From Wikipedia, the free encyclopedia
Usiku wa manane (pia: usiku wa manani) ni kipindi cha usiku baada ya masaa 8 hivi ya giza.
Mara nyingi kinaendana na kuvika kwa jogoo kwa mara ya kwanza katika siku mpya.
Katika dini mbalimbali, hususan Ukristo, ni wakati muhimu wa sala, hasa kwa wale wanaokesha.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.