Machweo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Machweo

Machweo (au Magharibi) ni kipindi cha siku ambapo jua linatoweka kabisa kwa macho ya watu wa eneo fulani, kabla ya kwanza usiku. Kinyume chake ni macheo au pambazuko inayotokea wakati usiku unakwisha na mchana unaanza.

Thumb
Jua, dakika moja kabla ya kuchwa huko Ureno.
Thumb
Machweo katika Hifadhi ya Taifa Nyerere Tanzania.

Wakati huo rangi nyekundu inatawala mandhari.

Binadamu na wanyama wengi wakati huo wanakwenda mahali pa kupumzika usiku.

Dini mbalimbali zinaagiza sala kwa wakati huo, kwa mfano Ukristo na Uislamu.

Tanbihi

Viungo vya nje

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.