Mayote
département ya Ufaransa / From Wikipedia, the free encyclopedia
Mayote ni eneo la ng’ambo la Ufaransa (kwa Kifaransa: Départment de Mayotte). Linaundwa na visiwa vya Maore na Pamanzi pamoja na vingine vidogo. Eneo hili kijiografia ni hasa muungo wa funguvisiwa la Komori lakini si kisiasa.
| |||||
Wimbo wa taifa: La Marseillaise | |||||
Lugha za Taifa | Kiswahili (shimaore) Kifaransa | ||||
Mji Mkuu | Mamoudzou | ||||
Rais Rais wa Ufaransa |
Emmanuel Macron | ||||
Eneo - Jumla - 0.4% Maji |
Kadiriwa 185 duniani 374 km² | ||||
Umma - Kadirio 2019 (270,372) - Sensa, julai 2002 (160,265) - Umma kugawa na Eneo (kilomita) 720 |
Kadiriwa 187 duniani ; (11 duni) | ||||
Chumo cha uchumi - Jumla - kwa kipimo cha umma |
$466.8 billion (208 kadir) $2,600 (165) | ||||
Uhuru - Kadirifu - Barabara |
Eneo la Ufaransa Kura ya maoni kubaki eneo la Ufaransa | ||||
Fedha | Euro | ||||
Saa za Eneo | UTC +3 | ||||
Wimbo wa Taifa | La Marseillaise | ||||
Intaneti TLD | .yt | ||||
kodi za simu | 269 |
Mayote iko katika kaskazini ya Mfereji wa Msumbiji kwenye Bahari Hindi, kati ya Madagaska upande wa mashariki-kusini na Msumbiji bara upande wa magharibi. Iko kilometa 295 magharibi kwa Madagaska na km 67 kusini mashariki mwa Nzwani.
Ardhi ya Mayote ina eneo la takriban km² 374. Ni mwamba wa matumbawe.
Mji mkuu ni Mamoudzou tangu mwaka 1977. Mji mkuu wa zamani ni Dzaoudzi kwenye kisiwa cha Pamanzi.
- Dzaoudzi
- Chissioua Mtsamboro.
- Chissioua Mbouzi.
- Chissioua Bandrélé.