![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/8/8f/Dzaoudzi_%25282851879391%2529.jpg/640px-Dzaoudzi_%25282851879391%2529.jpg&w=640&q=50)
Dzaoudzi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Dzaoudzi ni mji kwenye kisiwa cha Pamanzi (Kifaransa: Petite-Terre) katika eneo la ng’ambo la Ufaransa la Mayote. Ina wakazi 10,792 (mwaka 1999)
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/8/8f/Dzaoudzi_%282851879391%29.jpg/640px-Dzaoudzi_%282851879391%29.jpg)
Dzaoudzi ilikuwa mji mkuu wa Mayote hadi 1976 lakini makao ya utawala ilipelekwa Mamoudzou kwenye kisiwa kikuibwa cha Maore (Kifaransa: Grande-Terre).