![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/c/c3/Kidist-kirstos-semera.jpg/640px-Kidist-kirstos-semera.jpg&w=640&q=50)
Kristos Samra
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kristos Samra (kwa Ge'ez: ክርስቶስ፡ሠምራ, Krəstos Śämra, yaani “Kristo anapendezwa naye"; aliishi katika karne ya 15[1][2] ) alikuwa mwanamke wa Ethiopia aliyeanzisha monasteri ya Kanisa la Kiorthodoksi la Ethiopia[3] baada ya kuishi katika ndoa na kuzaa watoto kumi.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/c/c3/Kidist-kirstos-semera.jpg/320px-Kidist-kirstos-semera.jpg)
Ni kati ya watakatifu zaidi ya 200 wazawa wa Ethiopia[4] na kati ya wale wa kwanza katika wanawake 14.[5]