![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/4/45/Group_of_Seven_%2528G7%2529_Countries.svg/langsw-640px-Group_of_Seven_%2528G7%2529_Countries.svg.png&w=640&q=50)
G7
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kundi la G7 linaundwa na mawaziri wa fedha na magavana wa benki kuu wa nchi 7 zilizoendelea sana: Kanada, Ufaransa, Ujerumani, Italia, Japani, Ufalme wa Muungano na Marekani ambao wanakutana ili kujadili hasa maswala ya uchumi. Umoja wa Ulaya pia unawakilishwa katika G7.
Ukweli wa haraka Kundi la nchi 7 na Umoja wa Ulaya ...
Kundi la nchi 7 na Umoja wa Ulaya |
---|
![]()
|
Funga
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/d/d0/G7_Finance_ministers.jpg/640px-G7_Finance_ministers.jpg)
Nchi hizo zinaongoza kwa utajiri wa kitaifa, zikiwa na 64% ya utajiri wote duniani ($263 trilioni) kadiri ya Credit Suisse Global Wealth Report October 2014.[1]