![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/1/1a/Fabolous_by_Frank_DeMaria.jpg/640px-Fabolous_by_Frank_DeMaria.jpg&w=640&q=50)
Fabolous
From Wikipedia, the free encyclopedia
John David Jackson (amezaliwa tar. 18 Novemba 1977) ni msanii wa rekodi za hip hop kutoka nchini Marekani. Anafahamika zaidi kwa jina la kisanii kama Fabolous. Alikulia mjini Brooklyn huko New York City, alikuwa mmoja kati marapa wa East Coast ambao waliathiriwa na muziki wa Southern hip hop. Moja kati ya kazi zake za awali ambayo ilimletea umaarufu ni pamoja na "Can't Deny It" mnamo 2001, kutoka katika albamu yake ya kwanza ya Ghetto Fabolous. Fabolous ametoa albamu tano, ambazo zote kwa ujumla zimeuza nakala zaidi ya milioni tatu huko nchini Marekani.[1]
Ukweli wa haraka Maelezo ya awali, Jina la kuzaliwa ...
Fabolous | |
---|---|
![]() Fabolous at Sirius Satellite Radio in 2007 | |
Maelezo ya awali | |
Jina la kuzaliwa | John David Jackson |
Aina ya muziki | Hip hop |
Kazi yake | Rapa, mtunzi wa nyimbo |
Miaka ya kazi | 1998–mpaka sasa |
Studio | Desert Storm, Def Jam |
Ame/Wameshirikiana na | Jagged Edge, Lil Mo, Nate Dogg, Mike Shorey, Ne-Yo, Pharrell Williams, Red Cafe, The-Dream, Young Jeezy |
Funga