New York
jiji katika Jimbo la New York, Marekani / From Wikipedia, the free encyclopedia
New York (Kiing.: "New York City") ni jiji kubwa kabisa Marekani na kati ya miji mikubwa duniani. Iko kwenye pwani la kaskazini-mashariki ya Marekani katika jimbo la New York.
Ukweli wa haraka Nchi, Jimbo ...
Jiji la New York City | |
Mahali pa mji wa New York City katika Marekani |
|
Majiranukta: 40°42′15″N 73°55′5″W | |
Nchi | Marekani |
---|---|
Jimbo | New York |
Wilaya | New York Kings Queens Bronx Richmond |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 8,336,697 |
Tovuti: www.nyc.gov |
Funga