Chad
From Wikipedia, the free encyclopedia
Chad, kirasmi Jamhuri ya Chad (pia: Chadi), ni nchi huru iliyoko Afrika ya Kati. Imepakana na Libya, Sudan, Jamhuri ya Afrika ya Kati, Kamerun, Nigeria na Niger.
Ukweli wa haraka Jamhuri ya Chad, Mji mkuu na mkubwa nchini ...
Jamhuri ya Chad | |
---|---|
جمهورية تشاد (Kiarabu) République du Tchad (Kifaransa) | |
Kaulimbiu ya taifa: Unité, Travail, Progrès (Kifaransa) الاتحاد، العمل، التقدم (Kiarabu) "Umoja, Kazi, Maendeleo" | |
Wimbo wa taifa: La Tchadienne (Kifaransa) نشيد تشاد الوطني (Kiarabu) "Wimbo wa Chad" | |
Mahali pa Chad | |
Ramani ya Chad | |
Mji mkuu na mkubwa nchini | N'Djamena 12°06′ N 16°02′ E |
Lugha rasmi | Kiarabu Kifaransa |
Makabila (asilimia)[1] | 26.6 Wasara 12.9 Waarabu 8.5 Wakanembu 7.2 Wamasalit 6.9 Watebu 4.8 Wamasana 3.7 Wabidiyo 3.7 Wabilala 3.0 Wamaba 2.6 Wadaju 2.5 Wamundang 2.4 Wagabri 2.4 Wazaghawa 2.1 Wafulani 2.0 Watupuri 1.6 Watama 1.4 Wakaro 1.3 Wabagirmi 1.0 Wamasmaje 2.6 Wachad wengine 0.7 Wageni |
Dini (asilimia)[2] | 55.1 Waislamu 41.1 Wakristo 2.4 Wakanamungu 1.3 dini asilia 0.1 wengine |
Serikali | Jamhuri yenye baraza la majeshi |
• Rais wa muda • Makamu wa Rais • Waziri Mkuu | Mahamat Déby Djimadoum Tiraina Succès Masra |
Eneo | |
• Eneo la jumla | km2 1 284 000[3] |
• Maji (asilimia) | 1.9[3] |
Idadi ya watu | |
• Kadirio la 2023 | 18 523 165[3] |
Pato la taifa | Kadirio la 2023 |
• Jumla | USD bilioni 12.596[4] |
• Kwa kila mtu | USD 702[4] |
Pato halisi la taifa | Kadirio la 2023 |
• Jumla | USD bilioni 32.375[4] |
• Kwa kila mtu | USD 1 806[4] |
Maendeleo (2022) | 0.394[5] - duni |
Funga