Vincenzo Bellini (3 Novemba 1801 - 23 Septemba 1835) alikuwa mtunzi aliyemaarufu kwa Opera kutoka nchi ya Italia. Alikuwa mmoja kati ya watunzi muhimu wa Opera kwa karne ya 19. Aliwapatia waimbaji wake ala nzuri za kuimba na huku mwenyewe akiwa anatoa msaada wake wa kibendi.
Viungo vya nje
- Profile of Bellini Archived 11 Novemba 2006 at the Wayback Machine.
- Biography of Bellini Archived 13 Novemba 2006 at the Wayback Machine.
- Bellini cylinder recordings, from the Cylinder Preservation and Digitization Project at the University of California, Santa Barbara Library.
- Free scores by Vincenzo Bellini katika Werner Icking Music Archive (WIMA)
- Teatro Massimo Bellini, Catania
Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani wa Ulaya bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Vincenzo Bellini kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Orodha ya Wanamuziki wa kipindi cha Romatiki | |
---|---|
Alkan Balakirev Beethoven Bellini Berlioz Berwald Bizet Borodin Brahms Bruckner Chopin Cui Dvořák Elgar Field Franck Glinka Grieg Liszt Mahler Mendelssohn Mussorgsky Rachmaninoff Rimsky-Korsakov Saint-Saëns Schubert Schumann Smetana Strauss Tchaikovsky Verdi Wagner Wolf Weber |
Wikiwand in your browser!
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.