From Wikipedia, the free encyclopedia
Nangomba ni kata ya Wilaya ya Nanyumbu katika Mkoa wa Mtwara, Tanzania, yenye postikodi namba 63601.
Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2022, kata ilikuwa na wakazi wapatao 9,785 [1].Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 8,178 waishio humo.[2]
Nangomba inapitiwa na barabara ya A19 na hapa inaanza njia ya kwenda Msumbiji kupitia Daraja la Umoja.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.