From Wikipedia, the free encyclopedia
Barabara kuu ya A19 nchini Tanzania inaunganisha bandari za Mtwara kwenye Bahari ya Hindi na Mbamba Bay kwenye Ziwa Nyasa.
Inaanza mjini Mtwara kwenye njiapanda na barabara B2 ya kwenda Dar es Salaam[1]. Kutoka hapo inaelekea upande wa kusini magharibi kupitia Nanyamba, Tandahimba na Newala hadi Masasi. Kutoka hapao inaendelea upande wa magharibi ikipita Tunduru hadi Songea. Songea inakutana na B4 ya kwenda Njombe na Makambako.
Kuanzia Songea A19 inaelekea tena kusini-magharibi ikipita Mbinga na hatimaye kufika Mbamba Bay[2].
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.