Mnadhiri

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mnadhiri

Mnadhiri (kutoka Kiebrania נזיר, nazir, maana yake "aliyewekwa wakfu" au "aliyetengwa"[1][2]) katika Biblia ni mtu mwenye nadhiri iliyoratibiwa na Hes 6:1–21.

Thumb
Samsoni na simba, mchoro wa Francesco Hayez (1842).

Humo tunasikia masharti ya nadhiri:

Kati ya wanadhiri wa kudumu walio maarufu zaidi kuna Samsoni na Yohane Mbatizaji.

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.