Mahenge Mjini

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mahenge Mjini ni mji mdogo na makao makuu ya Wilaya ya Ulanga katika Mkoa wa Morogoro, Tanzania, yenye Postikodi namba 67601.

Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...
Mahenge Mjini
Thumb
Mahenge Mjini

Mahali pa Mahenge katika Tanzania

Majiranukta: 8°40′56″S 36°43′0″E
Nchi Tanzania
Mkoa Morogoro
Wilaya Ulanga
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 9,523
Funga

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 8,625 [1].Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 6,288. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 9,523 [2] walioishi humo.

Historia

Mji wa Mahenge ulianzishwa wakati wa ukoloni wa Kijerumani ukawa kituo cha kikosi cha 12 cha jeshi la Schutztruppe na makao makuu ya mkoa wa Mahenge wa Afrika ya Mashariki ya Kijerumani, baadaye pia wa Tanganyika katika miaka ya kwanza ya utawala wa Uingereza.

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.