Las Vegas ni mji wa Marekani katika jimbo la Nevada. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2007, mji una wakazi wapatao milioni 1.8 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 610 kutoka juu ya usawa wa bahari. Pia ni mji ambao watu wengi hupenda kwenda, kwa kuwa ni mji wa starehe.

Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Las Vegas, Nevada kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Mji wa Las Vegas, Nevada
Ukweli wa haraka Nchi, Jimbo ...
Jiji la Las Vegas

Bendera
Jiji la Las Vegas is located in Marekani
Jiji la Las Vegas
Jiji la Las Vegas

Mahali pa mji wa Las Vegas katika Marekani

Majiranukta: 36°11′39″N 115°13′19″W
Nchi Marekani
Jimbo Nevada
Wilaya Clark
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 558,880
Funga

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.