Eneo bunge la Kinangop ni eneo bunge la uchaguzi nchini Kenya. Ni mojawapo wa maeneo bunge matano katika Kaunti ya Nyandarua. Eneo bunge hili lina wadi tano, zote ambazo huwachagua madiwani katika Baraza la Mji wa Nyandarua. Eneo bunge hili lilianzishwa kwa ajili ya uchaguzi wa 1988.
Jamhuri ya Kenya |
Makala hii imepangwa kwa mfululizo: |
|
|
Nchi zingine · Atlasi |
Halifai kutatanishwa na Eneo Bunge la Kinango lililo katika Wilaya ya Kwale.
Wabunge
Mwaka wa Uchaguzi | Mbunge [1] | Chama | Vidokezo |
---|---|---|---|
1988 | Josiah Munyua Kimemia | KANU | Mfumo wa Chama kimoia. |
1992 | Mary Wanjiru | Ford-Asili | |
1997 | Mwangi K.Waithaka | Ford-People | |
2002 | Mwangi K.Waithaka | NARC | |
2007 | David Mwaniki Ngugi | Sisi Kwa Sisi |
Wadi
Wadi | |
Wadi | Wapiga kura waliosajiliwa |
---|---|
Engineer | 16,060 |
Magumu | 9,964 |
Njabini | 12,358 |
North Kinangop | 13,251 |
Nyakio | 12,199 |
Jumla | 63,832 |
Septemba 2005 | [2] |
Marejeo
Wikiwand in your browser!
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.