Bukombe
From Wikipedia, the free encyclopedia
Bukombe ni mji mdogo na makao makuu ya wilaya ya Bukombe katika Mkoa wa Geita (Tanzania).
Bukombe | |
Mahali pa Bukombe katika Tanzania |
|
Majiranukta: 3°30′43″S 32°2′35″E | |
Nchi | Tanzania |
---|---|
Mkoa | Geita |
Wilaya | Bukombe |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 18,302 |

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi wa kata walihesabiwa kuwa 18,302 [1]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 11,706 waishio humo. [2] Msimbo wa posta ni 30501.[3]
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.