![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/f/fa/Saintdamasus.jpg/640px-Saintdamasus.jpg&w=640&q=50)
Papa Damaso I
From Wikipedia, the free encyclopedia
Papa Damaso I (takriban 304 – 11 Desemba 384) alikuwa Papa kuanzia tarehe 1 Oktoba 366 hadi kifo chake[1]. Alitokea Roma, Italia. Jina lake la kuzaliwa pia lilikuwa Damasus.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/f/fa/Saintdamasus.jpg/320px-Saintdamasus.jpg)
Alimfuata Papa Liberius akafuatwa na Papa Siricius.
Mchango wake mkubwa zaidi ni kuthibitisha kanuni ya Biblia kama ilivyo hadi leo katika Kanisa Katoliki.
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Sikukuu yake ni 11 Desemba.[2].