Australia na Pasifiki
eneo la kijiografia linalojumuisha Australasia, Melanesia, Micronesia na Polynesia / From Wikipedia, the free encyclopedia
Australia na Visiwa vya Pasifiki (pia: Oceania, Okeania, Oshania) hujumlishwa mara nyingi pamoja katika hesabu ya mabara.
Hasa watu kwenye visiwa vingi vya Pasifiki wana utamaduni wa karibu. Vilevile historia ya visiwa hivyo kabla ya kuenea kwa ukoloni imefanana katika mengi.