From Wikipedia, the free encyclopedia
Tokelau ni kundi cha atolli tatu katika Pasifiki ambazo ni eneo la New Zealand. Atolli za Atafu, Nukunonu na Fakaofo ziko kaskazini ya New Zealand na upande wa mashariki wa Guinea Mpya. Visiwa vya karibu penye watu ni Samoa kwa umbali wa 480 km.
Idadi ya wakazi ni mnamo 1400 wanaosema lugha yao ya Kitokelau na kiasi cha Kiingereza.
Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.
|
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.