![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/0/07/Flag_of_Guam.svg/langsw-640px-Flag_of_Guam.svg.png&w=640&q=50)
Guam
eneo la kisiwa cha Merika la Amerika / From Wikipedia, the free encyclopedia
Guam (kwa Kichamoru: Guåhan) ni eneo la ng'ambo la Marekani (U.S. Territory of Guam) upande wa kusini wa funguvisiwa ya Mariana katika Bahari ya Pasifiki. Huhesabiwa kati ya visiwa vya Mikronesia.
Ukweli wa haraka
| |||||
Kaulimbiu ya taifa: "Where America's Day Begins" | |||||
Wimbo wa taifa: Fanohge Chamoru | |||||
![]() | |||||
Mji mkuu | Hagatna (Agana) °′ °′ | ||||
Kijiji | Dededo | ||||
Lugha rasmi | Kiingereza, Kichamoru | ||||
Serikali | Eneo la ng'ambo la Marekani Donald Trump Felix Perez Camacho | ||||
Eneo la ng'ambo la Marekani Koloni la Hispania Koloni la Marekani Eneo la ng'ambo la Marekani |
1668 1898 1949 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
543.52 km² (ya 192) ‘‘(kidogo sana)’’ | ||||
Idadi ya watu - Julai 2006 kadirio - Msongamano wa watu |
170,000 (ya 186) 307/km² (ya 37) | ||||
Fedha | US Dollar (USD ) | ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
Chamorro Standard Time (UTC+10) -- (UTC) | ||||
Intaneti TLD | .gu | ||||
Kodi ya simu | +1-671
- |
Funga
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/2/2c/GuamMap.png/320px-GuamMap.png)
Eneo la kisiwa hicho ni kilometa mraba 543.
Mji mkuu ni Hagåtña (Agana).
Uchumi wa Guam unategemea kituo cha kijeshi cha Marekani pamoja na utalii.