Donald Trump
From Wikipedia, the free encyclopedia
Donald John Trump (alizaliwa 14 Juni 1946) ni mfanyabiashara wa Marekani ambaye kuanzia tarehe 20 Januari 2017 hadi 20 Januari 2021 alikuwa rais wa 45 wa Marekani baada ya kushinda uchaguzi mkuu wa tarehe 8 Novemba 2016 na kushindwa katika ule wa Novemba 2020.
Ukweli wa haraka 45 Rais wa Marekani, Makamu wa Rais ...
Donald Trump | |
Makamu wa Rais | Mike Pence |
---|---|
mtangulizi | Barack Obama |
aliyemfuata | Joe Biden |
tarehe ya kuzaliwa | 14 Juni 1946 (1946-06-14) (umri 78) New York City |
utaifa | American |
chama | Republican (1987–99, 2009–11, 2012–hadi leo) |
ndoa |
|
watoto |
|
makazi | White House |
mhitimu wa |
|
dini | Ukristo |
signature | |
tovuti |
Funga