![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/f/fd/Hermann_A._Widemann_and_family%252C_ca._1850s.jpg/640px-Hermann_A._Widemann_and_family%252C_ca._1850s.jpg&w=640&q=50)
Hawaii
jimbo la Marekani / From Wikipedia, the free encyclopedia
Hawaii (kwa Kihawaii: Mokuʻāina o Hawaiʻi) ni funguvisiwa la bahari ya Pasifiki ambalo ni jimbo la Marekani, pia ni jina la kisiwa chake kikubwa.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/f/fd/Hermann_A._Widemann_and_family%2C_ca._1850s.jpg/640px-Hermann_A._Widemann_and_family%2C_ca._1850s.jpg)
Ukweli wa haraka Nchi, Mji mkuu ...
Hawaii | |||
| |||
Nchi | ![]() |
||
---|---|---|---|
Mji mkuu | Honolulu | ||
Eneo | |||
- Jumla | 28,311 km² | ||
- Kavu | 16,635 km² | ||
- Maji | 11,677 km² | ||
Tovuti: http://www.hawaii.gov/ |
Funga
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/d/d7/Map_of_Hawaii_NA.png/640px-Map_of_Hawaii_NA.png)
Hawaii ilikuwa ufalme wa Wapolinesia, ikawa koloni la Marekani]] katika karne ya 19 na imekuwa jimbo la Marekani tangu tarehe 21 Agosti 1959.