![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/7/71/Earth-Moon_System.jpg/640px-Earth-Moon_System.jpg&w=640&q=50)
Mwezi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mwezi (alama: ) ni gimba la angani linalozunguka sayari, sayari kibete au asteroidi fulani. Kuna miezi mingi katika anga-nje. Vipindi vya kuonekana kwa mwezi wa Dunia vilisababisha matumizi ya "mwezi" kama majira ya wakati.
Kwa maana nyingine, tazama Mwezi (maana).
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/7/71/Earth-Moon_System.jpg/640px-Earth-Moon_System.jpg)
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/a/a8/NASA-Apollo8-Dec24-Earthrise.jpg/640px-NASA-Apollo8-Dec24-Earthrise.jpg)
Mabadiliko ya kuonekana kwake yalisababisha katika Kiswahili neno "mwezi" litumike kama kipindi cha wakati. Awamu zake nne pengine ndizo chanzo cha majuma ya siku sabasaba.