![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/3/3b/%2528253%2529_mathilde.jpg/640px-%2528253%2529_mathilde.jpg&w=640&q=50)
Asteroidi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Asteroidi (kutoka Kigiriki ἀστήρ aster = nyota na είδες -eides= ya kufanana) ni kiolwa cha angani kinachozunguka jua jinsi inavyofanya sayari. Ni ndogo kuliko sayari kibete lakini kubwa kushinda kimondo-anga. Mara nyingi huitwa pia "planetoidi" kwa sababu tabia zao zinalingana katika mengi na sayari.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/3/3b/%28253%29_mathilde.jpg/320px-%28253%29_mathilde.jpg)
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/c/ce/InnerSolarSystem-sw.png/640px-InnerSolarSystem-sw.png)