Saba (namba)

From Wikipedia, the free encyclopedia

Saba (namba)

Saba ni namba ambayo inafuata sita na kutangulia nane. Kwa kawaida inaandikwa 7 lakini VII kwa namba za Kiroma na ٧ kwa zile za Kiarabu.

Thumb
Mabadiliko katika kuandika saba

7 ni namba tasa.

Namba hiyo katika Kiswahili ina asili ya Kiarabu pamoja na sabini (saba mara kumi).

Marejeo

  • Wells, D. The Penguin Dictionary of Curious and Interesting Numbers London: Penguin Group (1987): 70–71

Viungo vya nje

Ukweli wa haraka
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Funga
Makala hii kuhusu mambo ya hisabati bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Saba (namba) kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.