Mkoa wa Lôh-Djiboua (kwa Kifaransa: Région du Lôh-Djiboua) ni moja kati ya mikoa 31 ya nchini Cote d'Ivoire.
auto
Mkoa wa Lôh-Djiboua | |
Mahali pa Mkoa wa Lôh-Djiboua (kijani) katika Cote d'Ivoire za Jimbo la Gôh-Djiboua |
|
Nchi | Cote d'Ivoire |
---|---|
Jimbo | Gôh-Djiboua |
Serikali[1] | |
- Prefect | Kpan Droh Joseph |
- Rais wa Baraza | Komenan Tchekoura Rolland Zakpa |
Eneo[2] | |
- Jumla | 10,650 km² |
Idadi ya wakazi (2014) | |
- Wakazi kwa ujumla | 729,169 |
GMT | (UTC+0) |
Uko katika Magharibi ya kati ya nchi. Makao makuu ya eneo hilo ni Divo. Mwaka 2014 idadi ya wakazi ilikuwa watu 729,169.
Wikiwand in your browser!
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.