From Wikipedia, the free encyclopedia
Jimbo la Gôh-Djiboua (kwa Kifaransa: District du Gôh-Djiboua) ni moja kati ya majimbo 14 za nchini Cote d'Ivoire. Iko kusini mwa nchi[1].
Jimbo la Gôh-Djiboua | |
Eneo katika Côte d'Ivoire |
|
Majiranukta: 5°57′13″N 5°36′25″W | |
Nchi | Cote d'Ivoire |
---|---|
Jimbo | Gôh-Djiboua |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 1,605,286[1] |
Mwaka 2014, (Sensa ya Cote d'Ivoire ya 2014) idadi ya wakazi ilikuwa watu 1,605,286[1].
Makao makuu yako Gagnoa.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.